34 Mwana wa binadamu amekuja akila na kunywa, lakini mnasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi!’+
12 Na umati ulikuwa ukinong’onezana mambo mengi juu yake.+ Baadhi yao wakawa wakisema: “Yeye ni mtu mwema.” Wengine wakawa wakisema: “Sivyo, bali yeye anaupotosha umati.”
13 ijapokuwa hapo zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji+ na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema,+ kwa sababu nilikosa ujuzi+ nami nilitenda kwa ukosefu wa imani.