Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+

  • Luka 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+

  • Yohana 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo watu hao walipoona ishara alizofanya, wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ndiye nabii+ aliyepaswa kuja ulimwenguni.”

  • Yohana 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki