19 Yeyote anaposikia neno la ufalme lakini haelewi maana yake, yule mwovu+ huja na kunyakua kile ambacho kimepandwa moyoni mwake; huyo ndiye aliyepandwa kando ya barabara.
5 “Mpandaji alienda kupanda mbegu zake. Basi, alipokuwa akipanda, mbegu fulani zikaanguka kando ya barabara zikakanyagwa-kanyagwa, na ndege wa mbinguni wakazila.+