15 Basi, hawa ndio wale walio kando ya barabara ambapo lile neno limepandwa, lakini mara tu baada ya kulisikia Shetani huja+ na kuliondoa neno lililopandwa ndani yao.+
12 Zile zilizo kando ya barabara ni wale ambao wamesikia,+ kisha Ibilisi+ huja na kuliondoa lile neno kutoka mioyoni mwao ili wasipate kuamini na kuokolewa.+