Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi, hawa ndio wale walio kando ya barabara ambapo lile neno limepandwa, lakini mara tu baada ya kulisikia Shetani huja+ na kuliondoa neno lililopandwa ndani yao.+

  • Luka 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zile zilizo kando ya barabara ni wale ambao wamesikia,+ kisha Ibilisi+ huja na kuliondoa lile neno kutoka mioyoni mwao ili wasipate kuamini na kuokolewa.+

  • 1 Petro 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki