22 Na yule aliyepandwa katikati ya miiba, huyo ndiye anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo+ na nguvu za udanganyifu wa utajiri hulisonga neno, naye huwa asiyezaa matunda.+
19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo yale mengine hupenya na kulisonga neno, nalo hukosa kuzaa matunda.+