Methali 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+ Marko 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya kutazama huku na huku Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale wenye pesa+ kuingia katika ufalme wa Mungu!”+ Luka 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akamtazama na kusema: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale walio na pesa kuingia katika ufalme wa Mungu!+ 1 Timotheo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+ 2 Timotheo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo+ wa sasa, naye ameenda Thesalonike; Kresensi ameenda Galatia,+ Tito ameenda Dalmatia.
5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+
23 Baada ya kutazama huku na huku Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale wenye pesa+ kuingia katika ufalme wa Mungu!”+
24 Yesu akamtazama na kusema: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale walio na pesa kuingia katika ufalme wa Mungu!+
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+
10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo+ wa sasa, naye ameenda Thesalonike; Kresensi ameenda Galatia,+ Tito ameenda Dalmatia.