Marko 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+ Luka 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+
25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+
18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+