Mathayo 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa naye atazidishiwa;+ lakini yeyote ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Mathayo 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu, ataongezewa naye atakuwa na vingi; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Marko 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+ Luka 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ‘Ninawaambia ninyi, Kila mtu aliye na kitu, ataongezewa; lakini yule ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
12 Kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa naye atazidishiwa;+ lakini yeyote ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu, ataongezewa naye atakuwa na vingi; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+
26 ‘Ninawaambia ninyi, Kila mtu aliye na kitu, ataongezewa; lakini yule ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+