Mathayo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakasema: “Baadhi yao husema Yohana Mbatizaji,+ wengine Eliya,+ na wengine bado Yeremia au mmoja wa manabii.” Marko 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Mfalme Herode akasikia, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo anatenda kazi zenye nguvu.”+ Marko 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini Herode aliposikia hilo akaanza kusema: “Yohana ambaye nilimkata kichwa, ndiye huyo amefufuliwa.”+
14 Wakasema: “Baadhi yao husema Yohana Mbatizaji,+ wengine Eliya,+ na wengine bado Yeremia au mmoja wa manabii.”
14 Basi Mfalme Herode akasikia, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo anatenda kazi zenye nguvu.”+
16 Lakini Herode aliposikia hilo akaanza kusema: “Yohana ambaye nilimkata kichwa, ndiye huyo amefufuliwa.”+