Mathayo 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kuwaambia watumishi wake: “Huyu ndiye Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu, na ndiyo sababu anatenda kazi zenye nguvu.”+ Luka 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa Herode mtawala wa wilaya akasikia juu ya mambo yote yaliyokuwa yakitukia, naye akafadhaika sana kwa sababu baadhi ya watu walikuwa wakisema kwamba Yohana alikuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu,+
2 na kuwaambia watumishi wake: “Huyu ndiye Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu, na ndiyo sababu anatenda kazi zenye nguvu.”+
7 Sasa Herode mtawala wa wilaya akasikia juu ya mambo yote yaliyokuwa yakitukia, naye akafadhaika sana kwa sababu baadhi ya watu walikuwa wakisema kwamba Yohana alikuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu,+