17 Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu wakamkamata Yohana na kumfunga gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake, kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+
19 Lakini kwa kuwa alikuwa amemkaripia Herode mtawala wa wilaya kuhusu Herodia mke wa ndugu yake na kuhusu matendo yote maovu ambayo Herode alikuwa amefanya,+