Isaya 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+ na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+ Mathayo 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Pia, umati mkubwa ukamfuata, naye akawaponya huko.+ Marko 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kuwa aliwaponya watu wengi, wale wote waliokuwa na magonjwa yenye kuhuzunisha walikuwa wakimwangukia ili wamguse.+ Marko 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huko wakamletea mtu aliye kiziwi na mwenye kizuizi cha usemi, nao wakamsihi aweke mkono wake juu yake.+
10 Kwa kuwa aliwaponya watu wengi, wale wote waliokuwa na magonjwa yenye kuhuzunisha walikuwa wakimwangukia ili wamguse.+
32 Huko wakamletea mtu aliye kiziwi na mwenye kizuizi cha usemi, nao wakamsihi aweke mkono wake juu yake.+