Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+ na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+

  • Mathayo 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Pia, umati mkubwa ukamfuata, naye akawaponya huko.+

  • Marko 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kuwa aliwaponya watu wengi, wale wote waliokuwa na magonjwa yenye kuhuzunisha walikuwa wakimwangukia ili wamguse.+

  • Marko 7:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huko wakamletea mtu aliye kiziwi na mwenye kizuizi cha usemi, nao wakamsihi aweke mkono wake juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki