Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Alipokwisha kujua hilo, Yesu akaondoka. Wengi pia wakamfuata, naye akawaponya wote,+

  • Mathayo 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi alipotokea akaona umati mkubwa; naye akawasikitikia,+ akaponya wagonjwa wao.+

  • Mathayo 15:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo umati mkubwa ukamkaribia, wakiwa pamoja na watu waliokuwa viwete, vilema, vipofu, mabubu, na wengine wengi, nao wakawaweka miguuni pake, naye akawaponya;+

  • Luka 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini habari juu yake ilikuwa ikienea hata zaidi, na umati mkubwa ukawa ukikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki