Mathayo 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alipokwisha kujua hilo, Yesu akaondoka. Wengi pia wakamfuata, naye akawaponya wote,+ Mathayo 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi alipotokea akaona umati mkubwa; naye akawasikitikia,+ akaponya wagonjwa wao.+ Mathayo 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo umati mkubwa ukamkaribia, wakiwa pamoja na watu waliokuwa viwete, vilema, vipofu, mabubu, na wengine wengi, nao wakawaweka miguuni pake, naye akawaponya;+ Luka 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini habari juu yake ilikuwa ikienea hata zaidi, na umati mkubwa ukawa ukikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.+
30 Ndipo umati mkubwa ukamkaribia, wakiwa pamoja na watu waliokuwa viwete, vilema, vipofu, mabubu, na wengine wengi, nao wakawaweka miguuni pake, naye akawaponya;+
15 Lakini habari juu yake ilikuwa ikienea hata zaidi, na umati mkubwa ukawa ukikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.+