Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Yesu akamwambia ofisa huyo: “Nenda. Na iwe hivyo kwako, kama vile imani yako ilivyo.”+ Na yule mtumishi akapona saa ileile.

  • Mathayo 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yesu akageuka, akamwona, na kusema: “Jipe moyo, binti yangu; imani yako imekuponya.”+ Na kutoka saa hiyo mwanamke huyo akapona.+

  • Mathayo 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ndipo Yesu akamjibu, akasema: “Ewe mwanamke, imani yako ni kubwa; acha itendeke kwako kama unavyotaka.” Na binti yake akaponywa tangu saa hiyo na kuendelea.+

  • Yohana 4:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Kwa hiyo akaanza kuwauliza saa ambayo alipata nafuu. Basi wakamwambia: “Jana saa saba homa+ ilimwacha.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki