Mathayo 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Yesu akamwambia ofisa huyo: “Nenda. Na iwe hivyo kwako, kama vile imani yako ilivyo.”+ Na yule mtumishi akapona saa ileile. Mathayo 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akageuka, akamwona, na kusema: “Jipe moyo, binti yangu; imani yako imekuponya.”+ Na kutoka saa hiyo mwanamke huyo akapona.+ Mathayo 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yesu akamjibu, akasema: “Ewe mwanamke, imani yako ni kubwa; acha itendeke kwako kama unavyotaka.” Na binti yake akaponywa tangu saa hiyo na kuendelea.+ Yohana 4:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Kwa hiyo akaanza kuwauliza saa ambayo alipata nafuu. Basi wakamwambia: “Jana saa saba homa+ ilimwacha.”
13 Ndipo Yesu akamwambia ofisa huyo: “Nenda. Na iwe hivyo kwako, kama vile imani yako ilivyo.”+ Na yule mtumishi akapona saa ileile.
22 Yesu akageuka, akamwona, na kusema: “Jipe moyo, binti yangu; imani yako imekuponya.”+ Na kutoka saa hiyo mwanamke huyo akapona.+
28 Ndipo Yesu akamjibu, akasema: “Ewe mwanamke, imani yako ni kubwa; acha itendeke kwako kama unavyotaka.” Na binti yake akaponywa tangu saa hiyo na kuendelea.+
52 Kwa hiyo akaanza kuwauliza saa ambayo alipata nafuu. Basi wakamwambia: “Jana saa saba homa+ ilimwacha.”