Mathayo 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ Mathayo 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa.+ Luka 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+ Luka 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ingawa hivyo, ninyi hampaswi kuwa hivyo.+ Lakini acheni yule aliye mkuu zaidi ya wote kati yenu awe kama aliye mdogo zaidi ya wote,+ na yule anayetenda kama mkuu kama yule anayehudumu.+ Yakobo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jinyenyekezeni machoni pa Yehova,+ naye atawainua ninyi.+
26 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+
26 Ingawa hivyo, ninyi hampaswi kuwa hivyo.+ Lakini acheni yule aliye mkuu zaidi ya wote kati yenu awe kama aliye mdogo zaidi ya wote,+ na yule anayetenda kama mkuu kama yule anayehudumu.+