Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Malaki 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi mmesema, ‘Kwa sababu gani?’+ Kwa sababu hii, kwamba Yehova ametoa ushahidi kati yako na mke wa ujana wako,+ ambaye wewe umemtendea kwa hila, ingawa yeye ni mwenzako naye ni mke wa agano lako.+

  • Mathayo 5:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayemtaliki mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uasherati,+ anamweka katika hali ya kuweza kufanya uzinzi,+ na yeyote yule anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+

  • Marko 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akawaambia: “Mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine anafanya uzinzi+ dhidi yake,

  • Luka 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.+

  • Waroma 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hivyo, basi, mume wake anapokuwa hai, mwanamke huyo ataitwa mzinzi ikiwa atakuwa wa mwanamume mwingine.+ Lakini mume wake akifa, yeye yuko huru kutoka katika sheria ya mume, hivi kwamba mwanamke huyo si mzinzi akiwa wa mwanamume mwingine.+

  • 1 Wakorintho 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa watu waliofunga ndoa natoa maagizo, lakini si mimi bali ni Bwana,+ kwamba mke hapaswi kuondoka kwa mume wake;+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki