14 Nanyi mmesema, ‘Kwa sababu gani?’+ Kwa sababu hii, kwamba Yehova ametoa ushahidi kati yako na mke wa ujana wako,+ ambaye wewe umemtendea kwa hila, ingawa yeye ni mwenzako naye ni mke wa agano lako.+
32 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayemtaliki mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uasherati,+ anamweka katika hali ya kuweza kufanya uzinzi,+ na yeyote yule anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+
3 Hivyo, basi, mume wake anapokuwa hai, mwanamke huyo ataitwa mzinzi ikiwa atakuwa wa mwanamume mwingine.+ Lakini mume wake akifa, yeye yuko huru kutoka katika sheria ya mume, hivi kwamba mwanamke huyo si mzinzi akiwa wa mwanamume mwingine.+