33 Na wana wenu watakuwa wachungaji nyikani+ kwa miaka 40, nao watajibu kwa sababu ya matendo yenu ya uasherati,+ mpaka mizoga yenu itakapofikia mwisho wake nyikani.+
2 Ndipo suria wake akaanza kufanya uasherati+ dhidi yake. Mwishowe suria huyo akamwacha, akaenda nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu katika Yuda, akaendelea kukaa huko miezi minne kamili.
11 “Dada yake Oholiba alipoona jambo hilo,+ basi akatimiza tamaa yake ya kimwili kwa uharibifu mkubwa kuliko yeye, na ukahaba wake mwingi kuliko uasherati wa dada yake.+
5 Kwa maana mama yao amefanya uasherati.+ Yeye mwenye kuwachukua mimba ametenda kwa njia ya aibu,+ kwa maana amesema, ‘Nataka kuwafuata wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi,+ wale wanaonipa mkate na maji, sufu na kitani, mafuta na kinywaji.’+