Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+

  • Marko 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Alipoona hilo, Yesu akaghadhibika na kuwaambia: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu; msijaribu kuwazuia, kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+

  • Luka 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, Yesu akawaita wale watoto, akisema: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu, wala msijaribu kuwazuia. Kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki