14 Alipoona hilo, Yesu akaghadhibika na kuwaambia: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu; msijaribu kuwazuia, kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+
16 Hata hivyo, Yesu akawaita wale watoto, akisema: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu, wala msijaribu kuwazuia. Kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+