16 Hata hivyo, Yesu akawaita wale watoto, akisema: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu, wala msijaribu kuwazuia. Kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+
2 na, kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni tamaa kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa kitu+ ambayo ni ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+