Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi, yeyote atakayejinyenyekeza+ mwenyewe kama mtoto huyu mchanga ndiye aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni;+

  • Mathayo 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hata hivyo, Yesu akasema: “Waacheni watoto wachanga, na acheni kuwazuia wasinijie, kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama wao.”+

  • Luka 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, Yesu akawaita wale watoto, akisema: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu, wala msijaribu kuwazuia. Kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+

  • 1 Petro 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na, kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni tamaa kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa kitu+ ambayo ni ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki