Zaburi 118:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ah, sasa, Yehova, uokoe, tafadhali!+Ah, sasa, Yehova, ufanikishe, tafadhali!+ Mathayo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+
9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+