Mathayo 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wakawatuma wanafunzi wao kwake, pamoja na wafuasi wa chama cha Herode,+ wakisema: “Mwalimu, tunajua wewe una ukweli nawe hufundisha njia ya Mungu katika kweli, na hujali mtu yeyote, kwa maana wewe hutazami sura ya mtu.+ Marko 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu wakamtumia baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa chama cha Herode,+ kumnasa kwa maneno yake.+
16 Basi wakawatuma wanafunzi wao kwake, pamoja na wafuasi wa chama cha Herode,+ wakisema: “Mwalimu, tunajua wewe una ukweli nawe hufundisha njia ya Mungu katika kweli, na hujali mtu yeyote, kwa maana wewe hutazami sura ya mtu.+