Mathayo 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nyingine zikaanguka mahali penye miamba ambapo hapakuwa na udongo mwingi, zikachipuka mara moja kwa sababu ya kutokuwa na udongo wenye kina.+ Marko 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo hawa ndio wale waliopandwa mahali penye miamba: mara tu baada ya kulisikia neno, wanalipokea kwa shangwe.+ Marko 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini hawana mzizi ndani yao wenyewe, bali wao huendelea kuwako kwa wakati fulani; kisha mara tu dhiki au mateso yanapotokea kwa sababu ya lile neno, wao hukwazika.+ Luka 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nyingine zikaanguka juu ya mwamba, na, baada ya kuota, zikakauka kwa sababu ya kutokuwa na umajimaji.+
5 Nyingine zikaanguka mahali penye miamba ambapo hapakuwa na udongo mwingi, zikachipuka mara moja kwa sababu ya kutokuwa na udongo wenye kina.+
16 Vivyo hivyo hawa ndio wale waliopandwa mahali penye miamba: mara tu baada ya kulisikia neno, wanalipokea kwa shangwe.+
17 Lakini hawana mzizi ndani yao wenyewe, bali wao huendelea kuwako kwa wakati fulani; kisha mara tu dhiki au mateso yanapotokea kwa sababu ya lile neno, wao hukwazika.+
6 Nyingine zikaanguka juu ya mwamba, na, baada ya kuota, zikakauka kwa sababu ya kutokuwa na umajimaji.+