Mathayo 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na yule aliyepandwa mahali penye miamba, huyo ndiye anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+ Luka 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zile zilizo juu ya mwamba ndio wale ambao, wanapolisikia, hulipokea lile neno kwa shangwe, lakini hawana mzizi; wao huamini kwa muda, lakini wakati wa jaribu wao huanguka.+
20 Na yule aliyepandwa mahali penye miamba, huyo ndiye anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+
13 Zile zilizo juu ya mwamba ndio wale ambao, wanapolisikia, hulipokea lile neno kwa shangwe, lakini hawana mzizi; wao huamini kwa muda, lakini wakati wa jaribu wao huanguka.+