Mathayo 8:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini akawaambia: “Kwa nini mna moyo wa woga, ninyi wenye imani kidogo?”+ Ndipo, akasimama, akakemea zile pepo na hiyo bahari, kukawa utulivu mkubwa.+ Luka 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe wakamwendea, wakamwamsha, wakisema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!”+ Akaamka, akaukemea+ upepo na mchafuko wa maji, navyo vikatulia, kukawa na utulivu.
26 Lakini akawaambia: “Kwa nini mna moyo wa woga, ninyi wenye imani kidogo?”+ Ndipo, akasimama, akakemea zile pepo na hiyo bahari, kukawa utulivu mkubwa.+
24 Mwishowe wakamwendea, wakamwamsha, wakisema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!”+ Akaamka, akaukemea+ upepo na mchafuko wa maji, navyo vikatulia, kukawa na utulivu.