25 Ndipo akawaambia: “Imani yenu iko wapi?” Lakini wakiwa wameingiwa na woga, wakastaajabu, wakaambiana: “Kwa kweli huyu ni nani, kwa maana anaagiza hata pepo na maji, nazo zinamtii?”+
19 Hata hivyo, walipokuwa wamevuta makasia karibu kilometa tano au sita, wakamwona Yesu akitembea juu ya bahari akiwa anaikaribia mashua; nao wakaogopa.+