Mathayo 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara tu umati ulipokuwa umetoka nje, akaingia na kuushika mkono wake,+ na huyo msichana akainuka.+ Luka 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo akakaribia na kuligusa sanduku, na wachukuzi wakasimama tuli, naye akasema: “Kijana, ninakuambia, Inuka!”+ Luka 8:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Lakini akamshika mkono wake akamwita, akisema: “Msichana, inuka!”+ Matendo 9:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+
25 Mara tu umati ulipokuwa umetoka nje, akaingia na kuushika mkono wake,+ na huyo msichana akainuka.+
14 Ndipo akakaribia na kuligusa sanduku, na wachukuzi wakasimama tuli, naye akasema: “Kijana, ninakuambia, Inuka!”+
40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+