Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mara tu umati ulipokuwa umetoka nje, akaingia na kuushika mkono wake,+ na huyo msichana akainuka.+

  • Luka 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo akakaribia na kuligusa sanduku, na wachukuzi wakasimama tuli, naye akasema: “Kijana, ninakuambia, Inuka!”+

  • Luka 8:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Lakini akamshika mkono wake akamwita, akisema: “Msichana, inuka!”+

  • Matendo 9:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki