Mathayo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, baada ya kuondoka Nazareti, alikuja na kukaa katika Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali,+ Luka 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akashuka kwenda Kapernaumu,+ jiji moja la Galilaya. Naye alikuwa akiwafundisha siku ya sabato;
13 Zaidi ya hayo, baada ya kuondoka Nazareti, alikuja na kukaa katika Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali,+
31 Naye akashuka kwenda Kapernaumu,+ jiji moja la Galilaya. Naye alikuwa akiwafundisha siku ya sabato;