Mathayo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa. Mathayo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwishowe, baada ya kuwaruhusu umati waende zao, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ingawa ilikuwa jioni, alikuwa huko peke yake. Marko 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na asubuhi na mapema, kulipokuwa bado kuna giza, akatoka nje akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu,+ na huko akaanza kusali.+ Luka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku hizo zilipokuwa zikiendelea alienda mlimani kusali,+ naye akaendelea kusali kwa Mungu usiku wote.+
6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.
23 Mwishowe, baada ya kuwaruhusu umati waende zao, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ingawa ilikuwa jioni, alikuwa huko peke yake.
35 Na asubuhi na mapema, kulipokuwa bado kuna giza, akatoka nje akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu,+ na huko akaanza kusali.+
12 Siku hizo zilipokuwa zikiendelea alienda mlimani kusali,+ naye akaendelea kusali kwa Mungu usiku wote.+