Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yehova akaona kuwa ubaya wa mwanadamu ulikuwa mwingi duniani na kila mwelekeo+ wa fikira za moyo wake ulikuwa mbaya tu wakati wote.+

  • Mwanzo 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akaanza kunusa harufu ya kutuliza,+ na kwa hiyo Yehova akasema moyoni mwake:+ “Sitailaani nchi+ tena kamwe kwa sababu ya mwanadamu, kwani mwelekeo+ wa moyo wa mwanadamu ni mbaya tangu ujana wake na kuendelea;+ nami sitakipiga tena kamwe kila kitu chenye uhai kama vile nilivyofanya.+

  • Zaburi 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.

      Hakuna yeyote anayefanya mema.+

  • Yeremia 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki