20 Kwa hiyo wakampeleka mahali alipokuwa. Lakini alipomwona tu, mara moja yule roho akamfanya yule mtoto agaegae, na baada ya kuanguka chini akajiviringisha, akitoa povu.+
26 Na baada ya kupaaza sauti na kugaagaa sana roho huyo akatoka;+ naye mtoto akawa ni kama amekufa, hivi kwamba wengi kati yao wakawa wakisema: “Amekufa!”