Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Msiwape mbwa kitu kitakatifu,+ wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, ili wasizikanyage-kanyage+ chini ya miguu yao na kugeuka na kuwararua ninyi.

  • Mathayo 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yesu aliwatuma hao kumi na wawili, akiwapa maagizo haya:+ “Msiende katika barabara ya mataifa, na msiingie katika jiji la Wasamaria;+

  • Mathayo 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Akajibu, akasema: “Si sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa wadogo.”

  • Waroma 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ambao ni Waisraeli,+ ambao kule kufanywa wana+ ni kwao na utukufu+ na maagano+ na kupewa Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi;+

  • Waefeso 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki