Marko 6:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Sasa akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akatoa baraka,+ akaimega+ ile mikate na kuanza kuwapa wanafunzi, ili wapate kuiweka mbele ya watu hao; naye akawagawanya wale samaki wawili kwa ajili ya watu wote. Yohana 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu alisema mambo haya, akainua macho yake mbinguni,+ akasema: “Baba, saa imefika; mtukuze mwana wako, ili mwana wako apate kukutukuza wewe,+
41 Sasa akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akatoa baraka,+ akaimega+ ile mikate na kuanza kuwapa wanafunzi, ili wapate kuiweka mbele ya watu hao; naye akawagawanya wale samaki wawili kwa ajili ya watu wote.
17 Yesu alisema mambo haya, akainua macho yake mbinguni,+ akasema: “Baba, saa imefika; mtukuze mwana wako, ili mwana wako apate kukutukuza wewe,+