Mathayo 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+ Marko 7:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye akatazama juu mbinguni,+ akavuta pumzi+ kwa nguvu na kumwambia: “Efatha,” yaani, “Funguka.” Yohana 11:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo wakaliondoa jiwe. Basi Yesu akainua macho yake kuelekea mbinguni+ na kusema: “Baba, ninakushukuru kwamba umenisikia.+
19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+
41 Kwa hiyo wakaliondoa jiwe. Basi Yesu akainua macho yake kuelekea mbinguni+ na kusema: “Baba, ninakushukuru kwamba umenisikia.+