Isaya 29:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na wale wanaokosea katika roho yao kwa kweli watakuja kuujua uelewaji, na hata wale wanaonung’unika watajifunza mafundisho.”+ Mathayo 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Akijua hilo, Yesu akasema: “Kwa nini mnajadiliana, kwa sababu hamna mikate, ninyi wenye imani kidogo?+ Marko 6:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 kwa maana hawakuwa wamefahamu maana ya ile mikate, bali mioyo yao ilikuwa mizito isiweze kuelewa.+
24 Na wale wanaokosea katika roho yao kwa kweli watakuja kuujua uelewaji, na hata wale wanaonung’unika watajifunza mafundisho.”+
8 Akijua hilo, Yesu akasema: “Kwa nini mnajadiliana, kwa sababu hamna mikate, ninyi wenye imani kidogo?+
52 kwa maana hawakuwa wamefahamu maana ya ile mikate, bali mioyo yao ilikuwa mizito isiweze kuelewa.+