5 Na baada ya kuwatazama huku na huku kwa ghadhabu, akiwa amehuzunishwa na jinsi mioyo yao+ ilivyokuwa migumu, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+
17 Akijua hilo, akawaambia: “Kwa nini mnabishana kwa sababu hamna mikate?+ Je, bado hamjaelewa wala kupata maana? Je, mioyo yenu ni mizito isiweze kuelewa?+