Marko 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akamchukua kutoka katika umati na kumpeleka mahali pasipo na watu akaweka vidole vyake ndani ya masikio ya yule mtu na, baada ya kutema mate, akamgusa ulimi wake.+ Yohana 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya kusema hayo, akatema mate chini akafanyiza udongo kwa mate hayo, akauweka udongo wake juu ya macho ya mtu huyo+
33 Naye akamchukua kutoka katika umati na kumpeleka mahali pasipo na watu akaweka vidole vyake ndani ya masikio ya yule mtu na, baada ya kutema mate, akamgusa ulimi wake.+
6 Baada ya kusema hayo, akatema mate chini akafanyiza udongo kwa mate hayo, akauweka udongo wake juu ya macho ya mtu huyo+