Mathayo 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa alipoingia katika sehemu za Kaisaria Filipi, Yesu akaanza kuwauliza wanafunzi wake: “Watu wanasema Mwana wa binadamu ni nani?”+ Luka 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye, alipokuwa akisali peke yake, wanafunzi walimjia pamoja, naye akawauliza, akisema: “Umati unasema mimi ni nani?”+
13 Sasa alipoingia katika sehemu za Kaisaria Filipi, Yesu akaanza kuwauliza wanafunzi wake: “Watu wanasema Mwana wa binadamu ni nani?”+
18 Baadaye, alipokuwa akisali peke yake, wanafunzi walimjia pamoja, naye akawauliza, akisema: “Umati unasema mimi ni nani?”+