Mathayo 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa alipoingia katika sehemu za Kaisaria Filipi, Yesu akaanza kuwauliza wanafunzi wake: “Watu wanasema Mwana wa binadamu ni nani?”+ Marko 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda vijiji vya Kaisaria Filipi, na njiani akaanza kuwauliza wanafunzi wake, akisema: “Watu wanasema mimi ni nani?”+
13 Sasa alipoingia katika sehemu za Kaisaria Filipi, Yesu akaanza kuwauliza wanafunzi wake: “Watu wanasema Mwana wa binadamu ni nani?”+
27 Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda vijiji vya Kaisaria Filipi, na njiani akaanza kuwauliza wanafunzi wake, akisema: “Watu wanasema mimi ni nani?”+