Mathayo 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+ Luka 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+
17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+