Mathayo 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi alipoingia ndani ya hekalu, wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakamjia alipokuwa akifundisha, nao wakasema:+ “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hiyo?”+ Luka 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Siku moja alipokuwa akifundisha watu katika hekalu na kutangaza habari njema, wakuu wa makuhani na waandishi pamoja na wanaume wazee wakaja karibu,+
23 Basi alipoingia ndani ya hekalu, wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakamjia alipokuwa akifundisha, nao wakasema:+ “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka hiyo?”+
20 Siku moja alipokuwa akifundisha watu katika hekalu na kutangaza habari njema, wakuu wa makuhani na waandishi pamoja na wanaume wazee wakaja karibu,+