Mathayo 21:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, atawaharibu+ hao vibaya na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda kwa wakati wake.”+ Luka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Atakuja awaangamize wakulima hao na kuwapa wengine shamba hilo la mizabibu.”+ Waliposikia hilo wakasema: “Jambo hilo lisitukie kamwe!”
41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, atawaharibu+ hao vibaya na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda kwa wakati wake.”+
16 Atakuja awaangamize wakulima hao na kuwapa wengine shamba hilo la mizabibu.”+ Waliposikia hilo wakasema: “Jambo hilo lisitukie kamwe!”