16 Basi wakawatuma wanafunzi wao kwake, pamoja na wafuasi wa chama cha Herode,+ wakisema: “Mwalimu, tunajua wewe una ukweli nawe hufundisha njia ya Mungu katika kweli, na hujali mtu yeyote, kwa maana wewe hutazami sura ya mtu.+
21 Nao wakamuuliza, wakisema: “Mwalimu, tunajua wewe husema na kufundisha kwa usahihi na huonyeshi ubaguzi wowote, bali wewe hufundisha njia ya Mungu kupatana na ile kweli:+