Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+

      Nawe umwimarishe mwadilifu;+

      Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+

  • Mathayo 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Yesu, akijua fikira zao,+ akasema: “Kwa nini mnafikiri mambo maovu mioyoni mwenu?+

  • Luka 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hata hivyo, alijua mawazo yao,+ lakini akamwambia mtu huyo mwenye mkono uliopooza: “Inuka usimame katikati.” Naye akainuka akasimama.+

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

  • Ufunuo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki