Zaburi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+ Mathayo 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Yesu, akijua fikira zao,+ akasema: “Kwa nini mnafikiri mambo maovu mioyoni mwenu?+ Luka 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata hivyo, alijua mawazo yao,+ lakini akamwambia mtu huyo mwenye mkono uliopooza: “Inuka usimame katikati.” Naye akainuka akasimama.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+ Ufunuo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+
9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+
8 Hata hivyo, alijua mawazo yao,+ lakini akamwambia mtu huyo mwenye mkono uliopooza: “Inuka usimame katikati.” Naye akainuka akasimama.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+