Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Amelaaniwa yule ambaye hukubali rushwa ili kuipiga na kuiua nafsi, wakati ambapo hiyo ni damu isiyo na hatia.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Zekaria 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+

  • Mathayo 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kusema: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakamwagizia vipande 30 vya fedha.+

  • Luka 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, wakashangilia na kupatana kumpa fedha.+

  • 1 Timotheo 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kupenda+ pesa ni chanzo+ cha mambo mabaya ya namna zote,+ na kwa kujitahidi kufikia upendo huo wengine wamepotoshwa kutoka kwenye imani nao wamejichoma wenyewe kila mahali kwa maumivu mengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki