47 Na alipokuwa bado akisema, tazama! Yuda,+ mmoja wa wale kumi na wawili, akaja pamoja na umati mkubwa ukiwa na mapanga+ na marungu kutoka kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu.+
47 Alipokuwa bado akisema, tazama! umati, na yule mtu anayeitwa Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, alikuwa akienda mbele yao;+ naye akamkaribia Yesu ili kumbusu.+