47 Na alipokuwa bado akisema, tazama! Yuda,+ mmoja wa wale kumi na wawili, akaja pamoja na umati mkubwa ukiwa na mapanga+ na marungu kutoka kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu.+
43 Na mara moja, alipokuwa bado akisema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati ukiwa na mapanga na marungu kutoka kwa wakuu wa makuhani na waandishi na wanaume wazee.+
16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+