Luka 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi baada ya mambo hayo aliondoka na kumwona mkusanya-kodi anayeitwa Lawi akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+
27 Basi baada ya mambo hayo aliondoka na kumwona mkusanya-kodi anayeitwa Lawi akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+