9 Halafu, alipokuwa akiondoka mahali hapo, Yesu akamwona mtu anayeitwa Mathayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+ Akasimama mara moja na kumfuata.+
14 Lakini alipokuwa akipita kandokando, akamwona Lawi+ mwana wa Alfayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.” Naye akaondoka, akamfuata.+