Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo maofisa wakuu na maliwali walikuwa wanatafuta daima kisingizio fulani juu ya Danieli kuhusiana na ufalme huo;+ lakini hawakuweza kupata kisingizio chochote wala jambo lolote lenye ufisadi, kwa vile alikuwa mwenye kutegemeka wala haukupatikana ndani yake uzembe wowote wala jambo lolote lenye ufisadi.+

  • Mathayo 26:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+

  • 1 Petro 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki