Mathayo 26:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Basi Petro alikuwa ameketi nje katika ua; na mjakazi akamjia, akisema: “Wewe, pia, ulikuwa pamoja na Yesu Mgalilaya!”+ Luka 22:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Walipowasha moto katikati ya ua na kuketi chini pamoja, Petro alikuwa ameketi katikati yao.+ Yohana 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa wale watumwa na maofisa walikuwa wamesimama huku na huku, kwa kuwa walikuwa wamewasha moto wa makaa,+ kwa sababu kulikuwa na baridi, nao walikuwa wakiota moto. Petro pia alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
69 Basi Petro alikuwa ameketi nje katika ua; na mjakazi akamjia, akisema: “Wewe, pia, ulikuwa pamoja na Yesu Mgalilaya!”+
18 Sasa wale watumwa na maofisa walikuwa wamesimama huku na huku, kwa kuwa walikuwa wamewasha moto wa makaa,+ kwa sababu kulikuwa na baridi, nao walikuwa wakiota moto. Petro pia alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.